Taarifa kutoka Zanzibar zinasema kuwa Wananchi wameandamana kwa wingi ili kusherekea Ushindi wa Rais Mteule Dr. Ali Mohammed Shein, Unguja na Pemba shughuli zimesimama kwa muda ili kushiriki katika msafara huo, ambao unaelezwa kuwa na waendesha pikipiki wengi na magari pamoja na Wananchi wengi walijitokeza Leo jioni kila kona ya Zanzibar ilitawala rangi nyeusi na kijani. |
0 Maoni