Na hivi ndivyo mambo yalivyokuwa kisiwani Zanzibar baada ya watu kujitokeza kuchagua viongozi wao. https://youtu.be/yXTsjsqR0-s
Zoezi la upigaji kura kisiwani Pemba laelezwa kuendelea vizuri katika maeneo mbalimbali huku baadhi ya vituo vikiwa na watu wengi na vingine wachache.https://youtu.be/TSlXL6UOFkI
Hivi ndivyo Watu walivyojitokeza kupiga kura kuchagua viongozi wao ili kuweza kuunda serikali wanayotaka. https://youtu.be/ZlhDytKEBAg
0 Maoni