Unordered List


ZUBEIR MAULID ACHUKUA FOMU YA KUWANIA USPIKA BARAZA LA WAWAKILISHI, ZANZIBAR

KATIBU wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Dk. Yahya Khamis Hamad (kushoto) akimkabidhi fomu ya kugombea uspika, mgombea wa nafasi hiyo kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM), Zubeir Ali Maulid , ambapo uchaguzi wa spika unatarajiwa kufanyika tarehe Machi 30 , 2016, fomu hiyo alikabidhiwa katika ofisi ya katibu wa baraza ziliopo Mbweni Wilaya ya Magharib ‘B’.
KATIBU wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Dk. Yahya Khamis Hamad (kushoto) akisalimiana na mgombea wa nafasi ya Uspika wa Baraza hilo kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM), Zubeir Ali Maulid wakati alipofika kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo katika ofisi ya katibu wa baraza ziliopo Mbweni Wilaya ya Magharib ‘B’.
MGOMBEA wa Nafasi ya Uspika kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) Zubeir Ali Maulid akizungumza na Waandishi wa Habari wa vyombo mbali mbali muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uspika wa Baraza la Wawakilishi katika ofisi za Baraza hilo ziliopo Mbweni Wilaya ya Magharib ‘B’.Picha na Haroub Hussein

Chapisha Maoni

0 Maoni