Aliyekuwa Mgombea Ubunge wa CCM jimbo la Kilombero na Kaimu Katibu Idara ya Hamasa, Sera, Utafiti na MawasilUVCCM TAIFA, Ndugu Abubakar D. Asenga. |
ASANTE MWENYEZI MUNGU
NAWASHUKURU WANASHERIA WANGU HASA Onesmo Mpenzile.
Leo tumeshinda Mapingamizi ya Mbunge Lijua Likali wa Jimbo la Kilombero alioweka Chini ya Adv. Tundu Lisu akitaka kesi yetu itupiliwe mbali.
Hivyo kesi ya msingi inaendelea kwa kadiri mahakama itakavyo panga na kwa mashahidi elfu 45 tulionao ambao ni wapiga kura wetu tunaimani mahakama itatenda haki na uchaguzi kurudiwa Kilombero.
Mtoto wa Fundi Cherahani.
Asenga A.D
0715429738
0 Maoni