Unordered List


KAIMU KATIBU MKUU WA UVCCM TAIFA SHAKA HAMDU SHAKA AWASILI WILAYA YA NGORONGORO KUHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA

 Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Shakha Hamdu Shakha akihutubia wafugaji katika wilaya ya Ngorongoro katika wilaya hiyo

Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shakha Hamdu Shakha (wanne kushoto)  akiwasili
katika wilaya ya Ngorongoro ambapo alifanya mkutano wa hadhara na kuzindua
matawi ya chama  katika wilaya hiyo.wakwanza mstari wa mbele ni Mwenyekiti
wa UVCCM Arusha Lengai Ole Sabaya (PICHA NA WOINDE SHIZZA,NGORONGORO)

Chapisha Maoni

0 Maoni