Unordered List


MWENYEKITI WA UVCCM KILIMANJARO AFANYA ZIARA MOSHI MJINI


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Mkoa wa  Kilimanjaro, Ndugu Juma Raibu akihutubia katika mkutano uliofanyika viwanja vya Pasua Sokoni.

Katibu wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Moshi Ndugu Joel Makwaia akiwa Jukwani kwenye Mkutano wa hadhara akiongea na Wananchi.

Katibu wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Moshi Ndugu Joel Makwaia akisoma taarifa ya Nazi kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa  Kilimanjaro, Ndugu Juma Raibu.


Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika Mkutano wa hadhara wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Moshi katika viwanja vya Pasua Sokoni

Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika Mkutano wa hadhara wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Moshi katika viwanja vya Pasua Sokoni

Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika Mkutano wa hadhara wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Moshi katika viwanja vya Pasua Sokoni

Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika Mkutano wa hadhara wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Moshi katika viwanja vya Pasua Sokoni

Chapisha Maoni

0 Maoni