Unordered List


JK AWAKOSHA VIJANA WA CCM VYUO VIKUU JIJINI DAR ES SALAAM LEO JIONI

 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete akihutubia katika mahafali ya 2016 ya Shirikisho la wanafunzi wa vyuo vikuu wa CCM yaliyofanyika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam leo jioni.
 Vijana vyuo vikuu Dar es Salaam wakiserebuka katika mahafali yao.
 Vijana hao wakiendelea kuserebuka.
 Hapa ni furaha kwa kwenda mbele.

Ni kama wanasema'  Hapa ni ushindi tu 2020 kwani vijana tumejipanga. Picha zote na Dotto Mwaibale.

Chapisha Maoni

0 Maoni