Unordered List


MAKAMU MWENYEKITI WA CCM BARA AKUTANA NA WAJUMBE WA TIMU YA WAANGALIZI WA UCHAGUZI WA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA


Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe. Philip Mangula akizungumza na Timu ya Wajumbe  Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya waliomtembelea leo ofisini kwake Lumumba jijini Dar es salaam.
Waangalizi wa Uuchaguzi wa Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) wakimsikiliza kwa makini Makamu Mwenyekiti wa CCM Mhe. Philip Mangula ofisini kwake Lumumba jijini Dar es salaam.
 Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) wakizungumza na  Makamu Mwenyekiti wa CCM Mhe. Philip Mangula ofisini kwake Lumumba jijini Dar es salaam .Kikao hicho pia kilihuzuliwa na Kaimu Mkuu wa Idara Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dkt. Pindi Chana.

Timu hiyo ya Waangalizi wa Umoja wa Nchini za Ulaya ilikuwa na ujumbe wa watu watano ambao ni Mhe. Judith Sargetini, Mbunge na Kiongozi Mkuu wa Waangalizi, Ms Tania Marques Naibu Kiongozi wa Waangalizi, Balozi Roeland Van De Geer (Balozi wa Umoja wa Nchi za Ulaya), Ms Luana Reale, (Kansela) na Ms Anna Constatini (Mwambata wa Masuala ya Uchaguzi)

Chapisha Maoni

0 Maoni