Unordered List


OLE SENDEKA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI KILWA MKOANI LINDI, AFURAHI KUONANA NA ALIYEKUWA MGOMBEA MWENZA WA MREMA MWAKA 1995


 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Ali Mtopa akizungumza wakati wa kuagana na Msemaji wa CCM, Chrisopher Ole Sendeka, mwishoni mwa ziara ya Msemaji huyo wa Chama, katika wilaya ya Kilwa mkoani humo.
 Katibu wa CCM mkoa wa Lindi Adelina Geffi, akimshukuru Msemaji wa CCM, leo wakati wa kuagana mwishoni mwa ziara ya msemaji huyo wilayani Kilwa mkoani Lindi.
 Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akizungumza na viongozi wa  CCM mkoa wa Lindi na Wilaya ya Kilwa, mwishonimwa ziara yake katika wilya hiyo leo.
 Msemaji wa CCM Christpher Ole Sendeka, akipozi na Sultani Ahmed Sultani ambaye aliwahi kuwa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya NCCR Mageuzi, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 ambapo Mgombea Urais wa Chama hicho alikuwa Augustine Mrema. Sendeka amekutana na Sultani baada ya kuagana na viogozi wa CCM mwishoni mwa ziara yake wilayani Kilwa mkoani Lindi leo asubuhi. Hafla hiyo ya kuagana ilifanyika kwenye Hoteli ya Sultani, Kilwa Masoko.
 Msemaji wa CCM Christpher Ole Sendeka, akifurahia jambo na Sultani Ahmed Sultani ambaye aliwahi kuwa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya NCCR Mageuzi, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 ambapo Mgombea Urais wa Chama hicho alikuwa Augustine Mrema. Sendeka amekutana na Sultani baada ya kuagana na viogozi wa CCM mwishoni mwa ziara yake wilayani Kilwa mkoani Lindi leo asubuhi. Hafla hiyo ya kuagana ilifanyika kwenye Hoteli ya Sultani, Kilwa Masoko.
 Msemaji wa CCM Christpher Ole Sendeka, akimpongeza Sultani Ahmed Sultani ambaye aliwahi kuwa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya NCCR Mageuzi, katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 ambapo Mgombea Urais wa Chama hicho alikuwa Augustine Mrema. Sendeka amekutana na Sultani baada ya kuagana na viogozi wa CCM mwishoni mwa ziara yake wilayani Kilwa mkoani Lindi leo asubuhi. Hafla hiyo ya kuagana ilifanyika kwenye Hoteli ya Sultani, Kilwa Masoko.
 Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Ali Mtopa na Katibu wa CCM wa mkoa huo, Adelina Geffi kabla ya kuondola Wilayani Kilwa mwishoni mwa ziara yake wilayani humo mkoani Lindi leo. Kulia ni Mmiliki wa hoteli walipokuwa, Sultani Ahmed Sultani
 Msemaji wa Chama Ole sendeka akiwa katika picha ya pamoja
 Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akielekezwa jambo, na Sultani Ahmed Sultani, Ali alipomtembeza katika eneo la kitegauchumi cha hoteli yake katika mji mdogo wa Kilwa mkoani Lindi kabla ya kuondoka kurejea Dar es Salaam, leo
 Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akitembezwa na Sultani Ahmed Sultani, Sultani alipomtembeza katika eneo la kitegauchumi cha hoteli yake katika mji mdogo wa Kilwa mkoani Lindi kabla ya kuondoka kurejea Dar es Salaam, leo
Sultani Ahmed Sultani akimuonyesha mradi wa kutengeneza madawati Msemaji wa CCM, Ole Sendeka, Sendeka alipotembelea mradi huo leo kabla ya kurejea Dar es Salaam, baada ya ziara yake wilaya Kilwa mkoani Lindi.
 Sultani Ahmed Sultani akiwa amemfungulia mlango wa gari, Msemaji wa CCM, Ole Sendeka alipotaka kuondoka katika eneo la hoteli yake, katika mji mdogo wa Kilwa mkoani Lindi leo
 Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akiagana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Ali Mtopa  

 Msemaji wa CCM Ole Sendeka akiingia katika gari tayari kwa safari ya kurudi Dar es Salaam
Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akianza safari yake ya kurudi Dar es Salaam, baada ya ziara yake ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama katika wilaya ya Kilwamkoani Lindi leo.

Chapisha Maoni

0 Maoni