Unordered List


MWENYEKITI NJARU ATEMBELEA VIJANA WA HALAIKI YA UZIMAJI WA MWENGE MKOANI SIMIYU

 Vijana wa Halaiki ya Siku ya Kuzima Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu wakiendelea na Mazoezi.
   Katibu Hamasa sera utafiti na mawasilianoMkoa Simiyu ndg Mayunga Kidoyayi pamoja na katibu Uvccm wilaya ya Bariadi ndg Joel Makwaia wakimpa maelezo ya kina kwa Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Simiyu(MNEC) na Mbunge wa jimbo la Itilima Ndg. NJALU SILANGAalipo tembelea eneo wanalo fanyia Mazoezi Vijana wa Halaiki.
Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa Simiyu  na Mbunge wa Itilima ndg NJALU SILANGA (Mnec)akizungumza na watoto watakaocheza halaiki kwa ajili ya zoezi la uzimaji wa Mwenge wa uhuru Mkoani  Simiyu.

Chapisha Maoni

0 Maoni