Unordered List


RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimia na Waziri Mkuu Mhe:Kassim Majaliwa Kabla ya kuanza kwa kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es Salaam leo Septemba,29,2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es Salaam leo Septemba,29,2016.

 Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akizungumzia Maamuzi ya Baraza la Mawaziri kuhusu kuridhia Ujenzi wa Bomba la Mafuta leo Septemba,29,2016.

picha na Michuzi Blog

Chapisha Maoni

0 Maoni