Unordered List


HERI YA SIKU YA KUZALIWA MH.DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE

Siku kama ya leo Mwaka 1950,katika kijiji cha Msoga Wilayani Bagamoyo alizaliwa kiongozi Shujaa,Muadilifu,Mchapakazi na Mwanadiplomasia nguli.Baba wa familia ya watoto wanane,Mtetezi wa watu na Mlezi wa Taifa.

Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi Tunamtakia Heri ya siku ya kuzaliwa 
Mheshimiwa Dkt, Jakaya Mrisho KIKWETE 
Rais wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti mstaafu wa
 Chama cha Mapinduzi.

Hongera sana kwa kutimiza miaka 66.
Mwenye-ezi Mungu akujaalie maisha mrefu zaidi,Afya na mwisho mwema.

Chapisha Maoni

0 Maoni