Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na ujumbe wake, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD cha Burundi Evariste NdayishimIye akimzawadia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kihifadhio cha vitu mbalimbali cha jadi ya Burundi, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Oktoba Mosi 2016, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka.
Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD cha Burundi Evariste NdayishimIye akimzawadia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kihifadhio cha vitu mbalimbali cha jadi ya Burundi, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Oktoba Mosi 2016, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mnadhimu Mkuu wa CNDD-FDD, Gerase Ndabirabe na Wapili ni Kaimu Balozi wa Burundi hapa ncini, Prefere Ndayishimiye na Kushoto ni Balozi David Kapya na Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka.
Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akimshukuru Katibu wa Habari na Mawasiliano wa CNDD-FDD, Nancy Mutoni baada ya mazungumzo ya Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu wa CNDD-FDD
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsindikiza mgeni wake Katibu Mkuu wa
CNDD-FDD, Evariste Ndayishimiye, baada ya mazungumzo
Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimtoa katika jengo, kwenda kupanda
gari Kaibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye, baada ya
mazungumzo yao katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini
Dar es Salaam leo
Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiagana na Kaibu Mkuu wa chama cha
CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye, baada ya mazungumzo yao katika Ofisi
Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam leo
Msemaji
wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiagana na Kaimu Balozi wa Tanzania
hapa nchini Prefere Ndayishimiye baada ya Mazungumzo baina ya Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kulia) na Katibu Mkuu wa CNDD-FDD, leo
Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam.
Gari
lililombeba Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye,
likiondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es
Salam, baada ya mazungumzobaina ya Katibu Mkuu huyo na Katibu Mkuu wa
CCM, Abdulrahman Kinana (Kulia).
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO.
0 Maoni