Unordered List


KATIBU MKUU WA CCM, ABDULRAHMAN KINANA AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CNDD-FDD


Kataibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimkaribisha Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD-FDD, Evariste Ndayishimiye, leo Oktoba 1, 2016, katika Ofis Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuwa na mazungumzo baina ya viongozi hao kuhusu uhusiano wa vyama hivyo ya CCM na CNDD-FDD. Kushoto ni Mnadhimu Mkuu wa CNDD-FDD, Gelase Ndabirabe.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na ujumbe wake, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD cha Burundi Evariste NdayishimIye akimzawadia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kihifadhio cha vitu mbalimbali cha jadi ya Burundi, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Oktoba Mosi 2016, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka. 

Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD cha Burundi Evariste NdayishimIye akimzawadia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kihifadhio cha vitu mbalimbali cha jadi ya Burundi, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Oktoba Mosi 2016, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mnadhimu Mkuu wa CNDD-FDD, Gerase Ndabirabe na Wapili ni Kaimu Balozi wa Burundi hapa ncini, Prefere Ndayishimiye na Kushoto ni Balozi David Kapya na  Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka. 

Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akimshukuru Katibu wa Habari na Mawasiliano wa CNDD-FDD, Nancy Mutoni baada ya mazungumzo ya Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu wa CNDD-FDD

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsindikiza mgeni wake Katibu Mkuu wa CNDD-FDD, Evariste Ndayishimiye, baada ya mazungumzo
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimtoa katika jengo, kwenda kupanda gari Kaibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye, baada ya mazungumzo yao katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam leo 
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiagana na Kaibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye, baada ya mazungumzo yao katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam leo 
 Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiagana na Kaimu Balozi wa Tanzania hapa nchini Prefere Ndayishimiye baada ya Mazungumzo baina ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kulia) na Katibu Mkuu wa CNDD-FDD, leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam.
Gari lililombeba Katibu Mkuu wa chama cha CNDD-FDD Evariste Ndayishimiye, likiondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salam, baada ya mazungumzobaina ya Katibu Mkuu huyo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (Kulia).

 PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO.  

Chapisha Maoni

0 Maoni