Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya uliofanyika kwenye Chuo Cha Mipango mjini Dodoma.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
(kulia) akizungumza na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee
na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa mwaka
wa Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango
Dodoma.
0 Maoni