Mfalme
Mohammed VI wa Morocco akibusu Masahaf kabla ya kumkabidhi Waziri Mkuu
Kasim Majaliwa katika hafla fupi ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi
wa msikiti kwenye eneo la BAKWATA Kinondoni jijini Dar es salaam Oktoba
25, 2016. Kulia ni Mufti Mkuu wa Tanzania, Abukary Zubeir. Jumla ya
Masahaf 10000 zilikabidhiwa na Mfalme huyo
Mfalme
Mohammed VI wa Morocco na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakishuhudia
wakati Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeir (kulia) akitia
saini Makubaliano ya ujenzi wa Msikiti kwenye eneo la BAKWATA, Kinondoni
jijini Dar es salaam Oktoba 25, 2016
Mfalme
Mohammed VI wa Morocco na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakishuhudia
wakati Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeir (kulia) akitia
saini Makubaliano ya ujenzi wa Msikiti kwenye eneo la BAKWATA, Kinondoni
jijini Dar es salaam Oktoba 25, 2016
Mfalme
Mohammed VI wa Morocco, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Rais Mstaafu
Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Bilal
wakiwa katika hafla fupi ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa msiki
uliofnywa na Mfalme Mohammed wa Morocco kwenye eneo la BAKWATA,
Kinondoni jijini Dar es salam Oktoba 25, 2016. Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu
0 Maoni