Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya makamo wa Pili
wa Rais wakati wa kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2016-2017 katika
utekelezaji wa robo mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016
kilichofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 25/10 /2016.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamo wa
Pili wa Rais katika kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2016-2017 katika
utekelezaji wa robo mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016
kilichofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 25/10 /2016.
Baadhi
ya Viongozi katika Idara mbali mbali katika Wizara ya Nchi ofisi ya
makamo wa Pili wa Rais wakiwa katika mkutano wa siku moja
unaozungumzia Mpango kazi wa mwaka 2016-2017 katika utekelezaji wa
robo mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016 uliofanyika leo Ikulu Mjini
Unguja,chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),
Baadhi
ya Wakurugenzi katika Idara mbali mbali za Wizara ya Nchi Ofisi ya
makamo wa Pili wa Rais wakiwa katika mkutano wa siku moja
unaozungumzia Mpango kazi wa mwaka 2016-2017 katika utekelezaji wa
robo mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016 uliofanyika leo Ikulu Mjini
Unguja,chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
Baadhi
ya Maafisa wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wakiwa
katika mkutano wa siku moja unaozungumzia Mpango kazi wa mwaka
2016-2017 katika utekelezaji wa robo ya kwanza ya Julai-Septemba
2016,uliofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,chini ya mwenyekiti wake Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani),[Picha na Ikulu.] 24/10 /2016.
0 Maoni