Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Makamu wa
Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi, Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kanda na Kimataifa, Balozi Dkt.
Augustine Mahiga na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki, Naibu
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Hamisi Kigwangwalla katika picha
ya kumbukumbu na Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi
alipokutana nao Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiongea na
Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi alipokutana nao Ikulu
jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2016.
Balozi
wa Tanzania nchini Canada Mhe Jack Mugendi Zoka akichangia mada wakati
wa mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli akiongea na Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi
alipokutana nao Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana
na Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe Jack Mugendi Zoka baada ya
kuongea na Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi alipokutana nao
Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2016
0 Maoni