Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhami ya
NSSF, Profesa Samuel Wangwe kabla ya kuondoka kweye uwanja wa ndege wa
Arusha kurejea Dar es salaam Oktoba 21, 2016. Kushoto ni Mkuu wa
Wilaya ya Arusha Mjini, GAbriel Daqalo na watatu kushoto ni Mkurugenzi
Mkuu wa NSSF, Profesa Godius Kahyarara. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini,
Gabriel Daqalo kwenye uwanja wa ndege wa Arusha kabala ya kurejea jijini
Dar es salaam Oktoba 21, 2016 . Jana alifungua Mkutano wa sita wa
wadau wa NSSF kwenye Kituo cha Kimataifa cha `mikutano cha Kimataifa cha
Arusha AICC. Wapili kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF,
Profesa Samuel Wangwe na Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Profesa
Godius Kahyarara.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni