Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la
Dodoma, Beatus Kinyaiya kabala ya mazungumzo yao, Ofisini kwa Waziri
Mkuu mjini Dodoma Oktoba 27, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la
Dodoma, Beatus Kinyaiya (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya
Kikristo ya Huduma za Jamii, Peter Maduki (kushoto), Ofisini kwake
jijini Dar es salaam Oktoba 27, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la
Dodoma, Beatus Kinyaiya, Ofisini kwake mjini Dodoma Oktoba 27, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni