Unordered List


MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA TAIFA NEC JIJINI DAR ES SALAAM

 Mjumbe Wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi  Jerry Slaa Akisalimiana na Wajumbe Wa NEC  Kupitia Vijana Mhe:Antony Mavunde pamoja na Mhe: Deo Ndenjembi Kabla ya Ufunguzi Wa Kikao
 Mwenyeki Wa UVCCM Taifa Sadifa Juma Khamisi na Mjumbe Wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi akisalimiana na Wajumbe wa NEC mara baada ya Kuwasili katika ukumbi Wa Mkutano

 Sehemu ya Viongozi Wakuu wa Chama
 Sehemu ya Wajumbe wa Kamati kuu ya Chama
 Katibu Wa Itikadi na Uenezi Nape Moses Mnauye akimkaribisha Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi
mwe5
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na Makamu Mwenyekiti wa (CCM Zanzibar) Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Philip Mangula kabla ya kuanza kikao hicho jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi Ndg:Abrahmani Kinana akizungumza Na Wajumbe wa Halmashauri kuu Na KUMkaribisha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi DKT.John Pombe Magufuri Kufungua Mkutano wa Halmashauri kuu ya CCM leo 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC kabla ya kufungua rasmi Kikao hicho jijini Dar es Salaam
    Sehemu ya Wajumbe wa Kamati kuu ya ChamaCha Mapinduzi (CCM) wakisikiliza Hotuba ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli
 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC kabla ya kufungua rasmi Kikao hicho jijini Dar es Salaam
mwe2
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC kabla ya kufungua rasmi Kikao hicho jijini Dar es Salaam.PICHA NA UVCCM

Chapisha Maoni

0 Maoni