Naibu
Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde
akipokea Tuzo kutoka kwa Mjasiriamali na Mkurugenzi wa kampuni ya Malkia
Investment ltd Bi. Jenifer Shigole aliyoshinda katika tuzo za za
African entrepreneurship Awards zilizofanyika nchini Morocco na kuibuka
mshindi wa kwanza katika kipengele cha masuala ya Elimu na Mazingira na
kujishindia mtaji wa dola laki moja na nusu.Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi
Maendeleo ya Vijana Bi.Venerose Mtenga na wa kwanza kushoto ni Meneja
wa Programu wa kampuni ya Malkia Investment Bw.Juma Rajabu.
Naibu
Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde
akipokea Tuzo kutoka kwa Mjasiriamali na Mkurugenzi wa kampuni ya Malkia
Investment ltd Bi. Jenifer Shigole aliyoshinda katika tuzo za African
entrepreneurship Awards zilizofanyika nchini Morocco na kuibuka mshindi
wa kwanza katika kipengele cha masuala ya Elimu na Mazingira na
kujishindia mtaji wa dola laki moja na nusu.
Naibu
Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde
akipokea cheti alichoshinda Mjasiriamali na Mkurugenzi wa kampuni ya
Malkia Investment ltd Bi. Jenifer Shigole katika tuzo za African
entrepreneurship Awards zilizofanyika nchini Morocco na kuibuka mshindi
wa kwanza na kujishindia mtaji wa dola laki moja na nusu.
Mjasiriamali
na Mkurugenzi wa kampuni ya Malkia Investment ltd Bi. Jenifer Shigole
Bi. Jenifer Shigole akiwaonyesha waandishi wa habari(hawapo pichani)
tuzo aliyoshinda nchini Morocco na kufanikiwa kushika nafasi ya kwanza
katika kipengele cha masuala ya Elimu na Mazingira na kujishindia mtaji
wa dola moja na nusu. Kushoto ni Meneja wa Programu wa kampuni ya Malkia
Investment Bw.Juma Rajabu.
Naibu
Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde
akizungumza na vyombo vya habari kuhusu Tuzo aliyoshinda Mjasiriamali na
Mkurugenzi wa kampuni ya Malkia Investment ltd Bi. Jenifer Shigole
katika tuzo za African entrepreneurship Awards zilizofanyika nchini
Morocco na kuibuka mshindi wa kwanza katika kipengele cha masuala ya
Elimu na Mazingira na kujishindia mtaji wa dola laki moja na nusu.
0 Maoni