Tukiwa tunaelekea katika michuano ya LIGI YA VIJANA CUP itakayo anza kurindima katika ngazi za Wilaya,Mkoa,Kanda hadi kufikia kilele chake Taifa Mnamo tareh 5/02/2017.
Mapema ya leo Mh Angellah Kairuki Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utumishi ambae pia ni kamanda wa Uvccm Wilaya ya Same akiwa ndiye mzamini rasmi wa ligi Wilayani humo amekabidhi vifaa vya Michezo kwa timu 49 zitakazoshiriki ligi ya mpira wa miguu Wilayani Same.
Akizungumza mara baada ya kugawa vifaa ivyo Mh Angellah Kairuki Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utumishi ambae pia ni kamanda wa Uvccm Wilayani humo akizungumza na viongozi na wachezaji wa timu hizo pamoja na kuwatakia maandalizi mema ya michuano hiyo amewaeleza yakuwa ''Ufunguzi wa ligi hii unarajiwa kufanyika tar 3/01/2017 ambapo Mgeni Rasmi atakuwa ni Mh Anastanzia Wambura Naibu waziri Vijana, Habari, Utamaduni na Michezo''.
Mh Angellah Kairuki Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utumishi ambae pia ni kamanda wa Uvccm Wilaya. Na ndie mdhamini wa ligi hii Wilayani humo wa tatu kushoto akikabidhi jezi mbalimbali kwa viongozi wa kamati ya ligi wilayani Same.
Mh Angellah Kairuki Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utumishi ambae pia ni kamanda wa Uvccm Wilaya. Na ndie mdhamini wa ligi hii wilayan Same wa nne kushoto akikabidhi vifaa vya kingo za uwanja kwa viongozi wa kamati ya ligi wilayan same.
Mh Angellah Kairuki Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utumishi ambae pia ni kamanda wa Uvccm Wilaya. Na ndie mdhamini wa ligi hii wa Nne kushoto akikabidhi Vibendera kwa malefa watakao ongoza Vijana Cup Wilayan Same.
Jezi na Vifaa mbali mbali vya michezo vilivyo tolewa leo na Mh Angellah Kairuki Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utumishi ambae pia ni kamanda wa Uvccm Wilaya. Na ndie mdhamini wa ligi wilayani Same itakayo funguliwa na Mh:Anastanzia Wambura Naibu waziri Vijana, Habari, Utamaduni na Michezo Tareh 3mwezi 1mwaka2017.
0 Maoni