Mwenyekiti wa UVCCM Taifa (MCC/MB) Leo ameongoza ujumbe wa viongozi wa
UVCCM kumfariji na kumpa pole msanii wa maigizo ndg Abdul Ahmad jina la
Usanii Ben Serengo nyumban kwao Kigogo Jijini Dar Es Salam, aliyepata
ajali ya gari tareh 25 siku ya skukuu ya Christmas
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Sadifa Juma Khamisi(MCC/MB) wa nne kulia akitizama picha mbali mbali za tukio la ajali Msanii wa Bongo Movie Abdul Ahmad jina maarufu Ben Serengo wa Tatu kulia iliyotokea tareh 25 Siku ya Skukuu ya Christmas.
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Sadifa Juma Khamisi(MCC/MB) wa Tatu kushoto akizungumza na mama wa msanii Bi Jasmin Rajabu Hatia Mara baada ya kutoka kumuona mgonjwa.
0 Maoni