Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimlaki
Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa ikulu jijini
Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu
Mhe. Benjamin William Mkapa Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi
Januari 19, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimsindikiza Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa baada ya maongezi yao Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimsindikiza Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa baada ya maongezi yao Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana
na Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Herman Ikulu jijini
Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika
mazungumzi na Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Herman
Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli katika picha
ya kumbukumbu na Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille
Herman na Balozi wa Denmark Nchini Mhe. Einar Jensen Hebogard na
ujumbe wao pamoja na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Philip Mpango na
Katibu Mkuu Wizara hiyo Mhe. Dotto James Ikulu jijini Dar es salaam leo
Alhamisi Januari 19, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiagana na
Waziri wa Maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Herman na Balozi wa Denmark Nchini Mhe. Einar Jensen Hebogard
wakiwa pamoja na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Philip Mpango (kuhoto)
na Katibu Mkuu Wizara hiyo Mhe. Dotto James (kulia) Ikulu jijini Dar es
salaam leo Alhamisi Januari 19, 2017
0 Maoni