Picha ya kumbukumbu ya Sura Ya Marehemu Edwin Msele wakati wa Uhai wake
Mama na Baba wa Marehemu Edwin Msele wakilitazama jeneza lenye picha juu ya kumbukumbu ya Sura ya ,Marehemu enzi za uhai wake wakati wa Misaa ya kumuombea Marehemu iliyo fanyika Nyumbani kwao Kibosho
Katibu Mkuu wa CCM Abdurahman Kinana wa pili kulia akiwasili Nyumbani kwao na Marehemu Kuongoza Mazishi
Katibu Mkuu CCM Abdurahman Kinana akisalimiana na Sister wa Kanisa la Hagai KCMC alipowasili nyumbani kwao Marehemu Edwin Msele kuongoza mazishi.
Katibu Mkuu wa CCM Abdurahman Kinana akisalimiana na Paroko kanisa katoriki Mwika Emmanuel Tumaini wakati Wa mazishi
Mtumishi wa Mungu katika kanisa la Hagai KCMC ambae Pia ni Mlezi wa Wanafunzi Chuo cha KCMC Father Dackshen Akiongoza Missa ya Ibada ya Mazishi ya marehemu Edwin Msele
Wazazi Baba Na Mama wa Marehemu Edwin Msele wakiwa wenye huzuni na Simanzi nzito wakati wa Misa ya mazishi ya Mtoto wao Mpendwa
Wanakwaya wakiimba nyimbo za Kuomboleza Msibani
Mwanakwaya akiimba kwa Hisia nyimbo za Maombolezo wakati wa Ibada ya MazishiMbunge Kupitia Kundi la Vyuo Vikuu Esther Mmasi akiwa katika Ibada ya Kumuombea Marehemu Edwin Msele
waombolezaji wa Tatu kulia Ni Kaimu Katibu Shirikisho la Vyuo Vikuu Taifa Ndg:Daniel Zenda akiwa katika Ibada ya Mazishi ya kumuombea Marehemu Edwin Msele
Katibu Mkuu CCM wa Tatu Kushoto Akiwa Amwsimama na Viongozi Mbali mbali
Eneo la Waombolezaji Viongozi Mbalimbali wa Chama
Kaimu Katibu Mkuu Uvccm Shaka Hamdu Shaka , Daniel zenda Kaimu Katibu Shirikisho la Vyuo Vya Elimu ya Juu Tanzania na Juma Raibu Juma Mwenyekiti wa Uvccm Kilimanjaro wakitoa Heshima za Mwisho katika Mwili wa Marehemu Edwin Msele.
Katibu Mkuu CCM Akiwa na Viongozi
Paroko kanisa katoriki Mwika Emmanuel Tumaini akihubiri neno la bwana
wakati Wa mazishi
Mkuu wa Chuo Cha KCMC akiwasilisha Salamu za Rambirambi toka Chuoni wa kati wa Mazishi
Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akitoa salam za rambirambi zake binafsi,
CCM na za Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli wakati wa mazishi
hayo
Kinana akikabidhi rambirambi kutoka CCM na Jumuia zake kwa Baba wa Marehemu Edwin, Christopher Mselle wakati wa mazishi hayo |
Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka Akitoia Mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu
Katibu wa CCM Mkoa wa Kirimanjaro Deogratius Ruta
Katibu Mkuu CCM akiweka Mchanga katika Kaburi la Marehemu Edwin Msele
Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akiweka Mchanga Kaburini
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Said Mecky Sadick akimwaga udongo kaburini wakati wa maziko |
Baba na Mama wa marehemu wakiweka udogo kaburini. |
PICHAZOTE NA FAHADI SIRAJI
0 Maoni