MH.
Abdullghafar Idirissa Juma Kaimu Naibu Katibu Mkuu UVCCM ZNZ leo hii
amewasili kisiwani Pemba kwa ziara ya siku nne kwa wilaya zote za Pemba WETE MKOANI MICHEWENI NA CHAKE CHAKE
Ziara hiyo itaaza kesho Rasmi wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini katika wilaya hiyo Kaimu atapata fursa ya kukaguwa
1.Wagonjwa
2. kushiriki ujezi wa tawi la CCM Ukunjwi
3. Kutembelea shamba la miwa la VIJANA.
4. Kikundi cha ushoni.
5. Kukaguwa soko na ofisi ya baraza la mji Wete.
Lengo la ziara hiyo ni
1. Kukaguwa uhai wa chama na jumuiya.
2. Kukaguwa utekelezaji wa ilani ya CCM kwa kipindi cha mwaka mmoja wa serekali ya Mapinduzi ZNZ.
3. Kuona hatua jinsi ya maagizo chama kukipeleka kwa wanachama zilipofikia.
4. Maandalizi ya uchaguzi wa chama na jumuiya zake kwa ngazi zote.
Katika
ziara hiyo itakayoaza kesho 28/02/2017 na kuishia 03/03/2017 Kaimu
Naibu Katibu Mkuu ameongozana na maofisa wake wa ofisi kuu UVCCM ZNZ.
0 Maoni