Katibu
wa NEC, anayeshughulikia Siasa na Uhusiano wa Kimataifa CCM, Kanali
Mstaafu, Gemela Lubinga leo amefanya ziara katika Taasisi za CCM,
Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru,
Mzalendo na Burudani, na Makao Makuu ya Jumuia ya wanawake jijini Dar es
Salaam, ambazo amejitambulisha kwa viongozi wa Taasisi hizo na
kusikiliza changamoto zinaziokabili taasisi hizo katika utendaji.
Pichani, Kanali Lubinga akiwa katika chumba cha Habari cha Uhuru
Publications Ltd akifuatana na Kaimu Mhariri Mtendaji wa kampuni hiyo
Ramadhani Mkoma na baadhi ya viongozi wa kampuni. Zifuatazo ni picha
mbalimbali akiwa Uhuru na baadaye UWT. |
0 Maoni