Katibu Mkuu wa CCM Comred Abdulrahman Kinana akiaga Mwili wa Marehemu Mwenyekiti wa UWT Tawi la Chuo kikuu Cha Ushirika Moshi Annastazia Innocent Malamsha Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo
Katibu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akiaga Mwili wa Marehemu
Mwenyekiti wa UWT Tawi la Chuo kikuu Cha Ushirika Moshi Annastazia
Innocent Malamsha Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani
Rombo
Katibu Msaidizi Shirikisho la Vyuo Vikuu CCM Comred Zenda akiaga Mwili wa Marehemu Mwenyekiti wa UWT Tawi la Chuo kikuu Cha Ushirika Moshi Annastazia Innocent Malamsha Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo
Ndugu wa Marehemu wakiaga Mwili wa Marehemu Annastazia Innocent Malamsha Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Mwili wa Marehemu Annastazia Innocent Malamsha Ukipelekwa katika Eneo la Ibada Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Bertha Innocent Malamsha Mdogo wa Marehemu akibeba Picha ya Marehemu Annastazia Innocent Malamsha katika Mazishi yaliyo fanyika leo Nyumbani kwao Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Green Guard Wa Chama cha Mapinduzi Wakiwa Wamebeba Mwili wa Marehemu Annastazia Innocent Malamsha.
Katibu Mkuu wa CCM Comred Abdulrahman Kinana (wa Tau kulia Mstari wa Pili )akiwa Katika Missa ya Ibada ya kumuombea Marehemu Annastazia Innocent Malamsha Pamoja na Wananchi na Viongozi Mbali mbali Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo
Baba na Mama wa Marehemu wakiwa Katika Misa ya Kumuombea Annastazia Malamsha Innocent iliyofanyika Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Katibu Mkuu wa CCM Comred Adrahman Kinana akimfariji Baba wa Marehemu Mzee Innocent Malamsha Katika Missa ya Ibada iliyofanyika Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Katibu Mkuu wa CCM Comred Adrahman Kinanaakisalimiana na Viongozi wa Dini Katika Missa ya Ibada iliyofanyika Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Katibu Msaidizi Shirikisho la Vyuo Vikuu CCM Comred Zenda akiaga Mwili wa Marehemu Mwenyekiti wa UWT Tawi la Chuo kikuu Cha Ushirika Moshi Annastazia Innocent Malamsha Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo
Ndugu wa Marehemu wakiaga Mwili wa Marehemu Annastazia Innocent Malamsha Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Mwili wa Marehemu Annastazia Innocent Malamsha Ukipelekwa katika Eneo la Ibada Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Bertha Innocent Malamsha Mdogo wa Marehemu akibeba Picha ya Marehemu Annastazia Innocent Malamsha katika Mazishi yaliyo fanyika leo Nyumbani kwao Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Green Guard Wa Chama cha Mapinduzi Wakiwa Wamebeba Mwili wa Marehemu Annastazia Innocent Malamsha.
Katibu Mkuu wa CCM Comred Abdulrahman Kinana (wa Tau kulia Mstari wa Pili )akiwa Katika Missa ya Ibada ya kumuombea Marehemu Annastazia Innocent Malamsha Pamoja na Wananchi na Viongozi Mbali mbali Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo
Baba na Mama wa Marehemu wakiwa Katika Misa ya Kumuombea Annastazia Malamsha Innocent iliyofanyika Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa salamu za rambirambi zake binafsi,
za CCM na za Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli wakati wa missa ya mazishi.
Katibu Mkuu wa CCM Comred Adrahman Kinana akitoa Mkono wa Pole kwa Familia Ya Marehemu Annastazia Innocent Malamsha.Katibu Mkuu wa CCM Comred Adrahman Kinana akimfariji Baba wa Marehemu Mzee Innocent Malamsha Katika Missa ya Ibada iliyofanyika Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Katibu Mkuu wa CCM Comred Adrahman Kinanaakisalimiana na Viongozi wa Dini Katika Missa ya Ibada iliyofanyika Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo.
Mwili wa Marehemu Ukihifadhiwa Ndani ya Kaburi
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana Akiweka Shada Katika Kaburi la Annastazia Innocent Malamsha aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Tawi la Chuo kikuu Cha Ushirika Moshi kabla Mauti Hayajamkuta Nyumbani kwao Marehemu Kijiji Cha Shimbi Wilayani Rombo
0 Maoni