Aliyekuwa Katibu wa Idara ya Organization Chama Cha Mapinduzi Dkt Mohammed Seif Khatib akizungumza wakati wa Makabidhiano ya Kiofisi na Katibu Mpya Idara ya Organization CCM ndg:Perreira Ame Silima,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima akisain Hati ya Makabidhiano ya Vifaa mali, na Majukumu ya Chama Idara Ya Organaizeshen uku Maafsa wa chama wakishuhudia Zoez hilo,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima wa kwanza kushoto akikabidhiwa Hati ya Makabidhiano ya Vifaa mali, na Majukumu ya Chama Idara Ya Organaizeshen na Dkt Mohammed Seif Khatibu aliyekuwa Katibu Idara ya Organization CCM uku Kaimu Mkuu wa Idara ya Organaizeshen na Siasa UVCCM TAIFA Ndg:Pili Agustino akishuhudia Makabidhiano hayo,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima wa kwanza kushoto akikabidhiwa Kanuni za Chumuiya za Chama na Dkt Mohammed Seif Khatibu aliyekuwa Katibu Idara ya Organization CCM uku Kaimu Mkuu wa Idara ya Organaizeshen na Siasa UVCCM TAIFA Ndg:Pili Agustino akishuhudia Makabidhiano hayo,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima wa kwanza kushoto Akikabidhiwa Funguo na Dkt Mohammed Seif Khatibu aliyekuwa Katibu Idara ya Organization CCM uku Kaimu Mkuu wa Idara ya Organaizeshen na Siasa UVCCM TAIFA Ndg:Pili Agustino akishuhudia Makabidhiano hayo,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima akisain Hati ya Makabidhiano ya Vifaa mali, na Majukumu ya Chama Idara Ya Organaizeshen uku Maafsa wa chama wakishuhudia Zoez hilo,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima wa kwanza kushoto akikabidhiwa Hati ya Makabidhiano ya Vifaa mali, na Majukumu ya Chama Idara Ya Organaizeshen na Dkt Mohammed Seif Khatibu aliyekuwa Katibu Idara ya Organization CCM uku Kaimu Mkuu wa Idara ya Organaizeshen na Siasa UVCCM TAIFA Ndg:Pili Agustino akishuhudia Makabidhiano hayo,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima wa kwanza kushoto akikabidhiwa Kanuni za Chumuiya za Chama na Dkt Mohammed Seif Khatibu aliyekuwa Katibu Idara ya Organization CCM uku Kaimu Mkuu wa Idara ya Organaizeshen na Siasa UVCCM TAIFA Ndg:Pili Agustino akishuhudia Makabidhiano hayo,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima wa kwanza kushoto Akikabidhiwa Funguo na Dkt Mohammed Seif Khatibu aliyekuwa Katibu Idara ya Organization CCM uku Kaimu Mkuu wa Idara ya Organaizeshen na Siasa UVCCM TAIFA Ndg:Pili Agustino akishuhudia Makabidhiano hayo,Leo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba.
picha ya pamoja Katibu Idara ya Organization CCM Ndg:Perreira Ame Silima wa kwanza
kushoto na DktMohammed Seif Khatibu aliyekuwa Katibu Idara ya Organization
CCM(PICHA ZOTE NA FAHADY SIRAJI )
0 Maoni