Baadhi ya wabunge wakiwa Bungeni leo
Naibu Waziri Ofisi ya Rais
–TAMISEMI Mhe.Suleiman Jafo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao
cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma
Mei 15, 2017
Waziri wa Nishati na Madini
Mhe.Prof Sospeter Muhongo akizungumza jambo na Mbunge wa Nkasi Mhe.Ally
Kessy katika kikao cha Ishirini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la
11 leo Mjini Dodoma Mei 13, 2017.
Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na
Uvuvi Mhe.William Ole Nasha akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao
cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma
Mei 15, 2017
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe.Edwin Ngonyani akijibu maswali mbalimbali ya
wabunge kikao cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11
leo Mjini Dodoma Mei 15, 2017
Waziri wa Nishati na Madini
Mhe.Prof Sospeter Muhongo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge kikao
cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma
Mei 15, 2017
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la
Kujenga Taifa Mhe.Dkt Hussein Mwinyi akizungumza jambo na Waziri wa
Maliasili na Utalii Mhe.Prof Jumanne Maghembe katika kikao cha Ishirini
na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 13,
2017.
Waziri wa Viwanda,Biashara na
Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage akijibu maswali mbalimbali ya wabunge
kikao cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini
Dodoma Mei 15, 2017
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Azzan Zungu akitafakali jambo wakati akiongoza
kikao cha Ishirini na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo
Mjini Dodoma Mei 15, 2017.
Naibu Waziri Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt Susan Kolimba na Naibu Waziri wa
Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Edwin Ngonyani wakimskiliza Mbunge
wa Makete(CCM) Mhe.Prof Adamson Sigalla kikao cha Ishirini na tano cha
Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 15, 2017
0 Maoni