RAIS DK. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA KAMATI MAALUM YA KWANZA ILIYOFANYA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA MADINI ULIOTAKIWA KUSAFIRISHWA NJE YA NCHI KUTOKA KWENYE MACHIMBO YA MADINI NCHINIA
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya
uchunguzi wa mchanga wa madini mbalimbali uliotakiwa kusafirishwa nje ya nchi
kutoka kwenye machimbo ya madini nchini kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo
Profesa Abdulkarim Hamis Mruma Ikulu jijini Dar es Salaam.
Ikulu jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni Makamu wa
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakwanza kulia
wakishuhudia tukio hilo.
0 Maoni