Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini Amri ya Rais (Presidential Order) kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA, tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasilikiza viongozi mbalimbali waliokuwa wakichangia mara baada ya
kusaini Amri ya Rais (Presidential Order) kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA,tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaa
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
mara baada ya kusaini Amri ya Rais (Presidential Order) kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA, tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
m.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Makamu wa Rais Samia Suluhu
Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Ardhi William Lukuvi,
Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi, Katibu Mkuu
Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi kuhusu uamuzi wake wa kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA,tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
kabla ya kusaini Amri ya Rais (Presidential Order) kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA,tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Viongozi
mbalimbali wa Serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana
wakifatilia kwa makini Hotuba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli mara
baada ya kutia saini Amri ya Rais (Presidential Order) kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDADodoma ,tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Katiba na Sheria akisoma Rasimu ya Amri ya Rais (Presidential Order)
kabla ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuisaini ili kuifuta, Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa
Ardhi William Lukuvi wakifatilia kwa makini wakati Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza mara
baada ya kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA,tukio
lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza katika kikao hicho.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika kikao hicho.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi,
Waziri wa Ardhi William Lukuvi, Waziri wa Katiba na Sheria Profesa
Palamagamba Kabudi, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri mkuu, Kazi, Vijana na
Ajira Anthony Mavunde pamoja na Mwenyekiti wa CCM mkoani Dodoma Adam
Kimbisa mara baada ya kuifuta Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu
CDA,tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa CDA Eng. Paskasi Muragili mara baada ya
kuifuta mamlaka hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU
0 Maoni