JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU
KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU
TAARIFA KWA UMMA
KUITWA
KUANZA MAFUNZO YA STADI ZA KAZI KATIKA
SEKTA ZA TEHAMA, UMEME, UCHOMELEAJI, UJENZI,
USEREMALA, UFUNDI BOMBA, TERAZO, UFUNDI MAGARI, UCHONGAJI VIPURI NA USHONAJI NGUO
Ofisi ya Waziri
Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira, na Wenye Ulemavu (OWM-KVAU) inapenda kutaarifu umma wa watanzania kuwa vijana 3,440 walioainishwa hapa chini
wamechaguliwa kujiunga na mafunzo tajwa hapo juu. Mafunzo haya yamelenga kuwezesha
nguvu kazi ya taifa kupata ujuzi na stadi za kazi stahiki ili kumudu ushindani
katika soko la ajira na kuwezesha vijana kushiriki katika kukuza Uchumi wa
Viwanda. Mafunzo haya yatatolewa katika Vituo vya Mafunzo vya Don Bosco
vifuatavyo : Don Bosco VTC Oysterbay Dar es Salaam, Don Bosco Upanga Dar es Salaam, Don Bosco
Temeke Dar es Salaam, Don Bosco VTC Dodoma, Don Bosco VTC Iringa, Don Bosco
Mafinga, Don Bosco Didia - Shinyanga na Don Bosco Moshi. Vijana wote waliochaguliwa
watatakiwa kufika kuanzia mafunzo
kuanzia tarehe 29/05/2017 hadi 03/06/2017. Serikali itagharamia ada ya mafunzo pamoja na nauli
wakati wa mafunzo ya shilingi 100,000 (Laki Moja tu) kwa kijana kwa mwezi.
Aidha, gharama nyingine za kujikimu zikiwemo malazi na chakula zitagharamiwa na
mwombaji au Mzazi/Mlezi. Majina ya vijana
na vituo walivyopangiwa ni kama ifuatavyo.
MAJINA YA VIJANA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO
KATIKA FANI YA UFUNDI UMEME - DON
BOSCO OYSTERBAY
|
||||
NA
|
JINA
|
JINSI
|
FANI
|
SEHEMU ANAKOTOKA
|
1
|
ABDALAH M . SOBO
|
M
|
ELECTRICAL
|
ILALA
|
2
|
ABDALAH S DUDU
|
M
|
ELECTRICAL
|
TEMEKE
|
3
|
ABDALAH S. ZUBERI
|
M
|
ELECTRICAL
|
TEMEKE
|
4
|
ABDALLAH AMAN
|
M
|
ELECTRICAL
|
ILALA
|
5
|
ABUBAKARI M. MAHULU
|
M
|
ELECTRICAL
|
TEMEKE
|
6
|
AKBAR H. KHAMISI
|
M
|
ELECTRICAL
|
UBUNGO
|
7
|
ALOYCE S. MBOYA
|
M
|
ELECTRICAL
|
KINONDONI
|
8
|
AMIRI H. IBRAHIM
|
F
|
ELECTRICAL
|
TEMEKE
|
9
|
ANAMARY MLYUKA
|
M
|
ELECTRICAL
|
ILALA
|
0 Maoni