Unordered List


ISIKUPITE RAIS DKT. MAGUFULI ALIPOHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU TANO MKOANI TANGA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza madiwani na viongozi wengine baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya  kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya  kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya  kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akienda kuagana na wananchi baada ya  kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mmoja wa wa wananchi baada ya  kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Moja ya mabango yaliyokuwa na ujumbe wa changamoto mbalimbali za Korogwe
 Wengi walikuwa na kiu ya kusikilizwa kero zao
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza diwani wa kata ya Msima  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Wananchi wakimshangilia  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama kwa muda na kuongea nao katika kata ya Msima  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

  Kikosi kazi cha TBC kikirusha mubashara matukio yote ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Hapa ni katika Msima  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Kikosi kazi cha TBC kikirusha mubashara matukio yote ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Hapa ni katika Msima  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitambulisha viongozi alioongozana nao kwa wananchi wa kata ya Msima  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsimiliza mwalimu wa shule ya msingi ya Msima aliposimama kuzungumza na wananchi  kata ya Msima  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akielezea changamoto mbalimbali za wananchi wa kata ya Msima  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi shilingi milioni 5 taslimu  Mwalimu Mkuu wa Shule ya msingi ya Msima kwa ajili ya ujenzi wa vyoo vya shule katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ukiingia mjini Handeni  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika nyumba ya aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga  leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli  waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda  nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga  leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli  waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda  nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga  leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli  waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda  nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga  leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe alipowasili wilayani humo  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akipungia wanannchi alipowasili katika uwanja wa mikutano wa Kibaoni kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Mke wa Rais Mama Janeth  Magufuli akiwakipungia wananchi wa Handeni alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia  wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia  wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia  wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia  viongozi wa dini na wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akikaribisha wageni wake wilayani humo  katika siku ya mwisho ya ziara  Rais ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

 Mke wa Rais Mama Janeth  Magufuli akisalimia wananchi wa Handeni katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara ya Rais ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Handeni  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
  Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akitolea ufafanuzi baadhi ya changamoto  wilayani humo  leo Agosti 7, 2017
 Mmoja wa wananchi wa Handeni akitoa kero zake mbele ya Rais Magufuli
 Rais Magufuli akimfariji mwananchi huyo kwa matatizo yaliyomsibu
 Mmoja wa wananchi wa Handeni akitoa kero zake mbele ya Rais Magufuli
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiagana na viongozi na wananchi wa Handeni baada ya kuwahutubia katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiagana na viongozi na wananchi wa Handeni baada ya kuwahutubia katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Msafara wa Rais Magufuli ukiendelea na safari
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wananchi wa Manga aliposimama kwa muda kuongea nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Mbunge wa Handeni Vijijini  Mhe. Mboni Mhita akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali wakati Rais Magufuli aliposimama kwa muda katika kijiji cha Kwachaga 
 Mafundi mitambo wa TBC wakiwa makini kuhakikisha matangazo yanaruka mubashara bila shida
 Mkulima wa kijiji cha Manga akieleza kero wazipatazo kwa wafugaji katika kata ya Kwachuma
 Mmoja wa viongozi wa wafugaji akifafanua hali ilivyo kata ya Kwachuma
 Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akitoa maelezo ya changamoto mbalimbali katika kata ya Kwachuma
 Rais Dkt. Magufuli akiagiza kuondolewa kwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mazingara baada ya wananchi na Mkuu wa Wilaya kudai amekuwa akitoa uamuzi usiotoa haki kwa wakulima
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akimuaga rasmi Rais Dkt. Magufuli na kumshukuru kwa kutembelea mkoa huo kwa siku tano
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa kata ya Kwachuma
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa kata ya Kwachuma
 Rais Dkt. Magufuli akiaga wananchi wa kata ya Kwachuma
 Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na  wananchi wa kata ya Kwachuma
  Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na  wananchi wa kata ya Kwachuma
  Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na  wananchi wa kata ya Kwachuma
  Kabla ya kuondoka Rais Dkt. Magufuli aliongea na wanafunzi wa shule za kata ya  Kwachuma
Rais Dkt. Magufuli akiongea na wanafunzi wa shule za kata ya  Kwachuma
  Rais Dkt. Magufuli akimsikiliza mwanafunzi  Mwajuma Omari Mbwewe 
 Rais Dkt. Magufuli akijibu maswali ya mwanafunzi huyo wa shule za kata ya  Kwachuma
 Rais Dkt Magufuli akiagana na mwanafunzi Mwajuma Omari Mbwewe baada ya kujibu maswali yake
 Akiwa njiani msafara wa Rais Dkt. Magufuli ulisimamishwa na umati mkubwa wa watu maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam ambapo ikambidi asimame na kuongea nao
 Umati mkubwa wa watu maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam ambapo ukimsikiliza Rais Magufuli
 Rais Dkt. Magufuli akiongea na umati mkubwa wa wananchi uliomsimamisha  maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam 
 Rais Dkt. Magufuli akisikiliza kero za wafanyabiashara wadogo maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam 
 Kama kawaida ujumbe ulikuwepo
 Rais Dkt. Magufuli akimfariji mmoja wa wafanyabiashara wadogo waliopata changamoto eneo la Bunju A
Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa  wananchi uliomsimamisha  maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam
 Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa  wananchi uliomsimamisha  maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam
 Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa  wananchi uliomsimamisha  maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam
 Rais Dkt. Magufuli akiagana na umati wa  wananchi uliomsimamisha  maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam
Rais Dkt. Magufuli akiagana na umati wa  wananchi uliomsimamisha  maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Picha na IKULU

Chapisha Maoni

0 Maoni