Rais
Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma
Kikwete wakivuna mahindi shambani kwao kijijini Msoga, Chalinze, Mkoa wa
Pwani kukamilisha msimu wa mavuno ambao amesema umekuwa mzuri mwaka huu
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea na kazi ya kuvuna
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia mavuno mema
Rais
Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma
Kikwete wakiendelea kuvuna mahindi shambani kwao kijijini Msoga
Rais
Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma
Kikwete wakifurahia mavuno mema ya mahindi shambani kwao kijijini Msoga
Rais
Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma
Kikwete wakifurahia mavuno mema ya mahindi shambani kwao kijijini
Msoga.
0 Maoni