Masaidizi
wa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Petro Magoti akimpokea Kaimu Balozi
wa Marekani hapa nchini Inmi Petterson, alipowasili ofisi Ndogo ya Makao
Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kufanya
mazungumzo na Katibu wa NEC, Itikadi na Uwenezi, Humphrey Polepole, leo.
(Picha zote na Bashir Nkoromo) |
0 Maoni