Unordered List


Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) atuma salamu za rambirambi

Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Marehemu Dkt. Kabourou.

Chapisha Maoni

0 Maoni