Unordered List


CCM YAFAGIA UPINZANI KWA LOWASSA, MBUNGE WA MONDULI AHAMIA CCM USIKU WA KUAMKIA LEO


Mbunge wa jimbo la Monduli kwa tiketi ya Chadema Julius Kalanga  Laizer, usiku wa kuamkia leo amejivua uanachama wa Chadema, amejiuzulu nafasi yake ya Ubunge na vyeo vyake vyote ndani ya Chadema na Kujiunga na CCM.

Bwana Julius Kalanga Laizer amepokelewa na Kamaradi Humphrey Polepole Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.

Imetolewa na,

IDARA YA ITIKADI NA UENEZI 
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM

Chapisha Maoni

0 Maoni