Kaimu meneja Uhusiano na Masoko wa Shirika la Hifadhi za Jamii Nssf Salim Khalfan akitoa maelezo kwa Makamu mwenyekiti wa Chama CHa Mapinduzi Tanzania Bara Philip Mangula alipotembelea katika maonyesho ya Biashara ya kimataifa yanayoendelea jijini Dar es salaam, pembeni yake ni Mkurugenzi mkuu wa NSSF ,Proffesa Godius Kayharara.
0 Maoni