Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za CCM mkoa wa Dodoma
Makatibu wakuu wa jumuiya za Chama cha mapinduzi (Kulia) Ndg Raymond Mwangwala katibu mkuu UVCCM,ndg Queen Mlozi katibu Mkuu UWT pamoja na ndg Erasto sima katibu mkuu wa Wazazi Taifa.
Meza kuu ikifurahia jambo
Mjumbe wa kamati kuu na Waziri mkuu Mstaafu Ndg Mizengo Pinda akizungumza katika mkutano wa mapokezi na utambulisho wa sekretariet mpya ya ccm taifa.
Sehemu ya wabunge na viongozi mbali mbali waliohudhuria katika mkutano wa mapokezi na utambulisho wa sekretariet mpya ya ccm taifa.
Wazee wa kimila wa Mkoa wa Dodoma wakimsimika uongozi wa jamii ya wa gogo na kumpa jina la Chief Nzuguni
Kikundi cha burudaniWanachama wakishangilia katika mkutano wa mapokezi na utambulisho wa sekretariet mpya ya ccm taifa.
Katibu wa Halmashauri kuu Itikadi na uenezi ndg Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika mkutano wa mapokezi na utambulisho wa sekretariet mpya ya ccm taifa.
Naibu katibu mkuu wa CCM Bara ndg Christina Mdeme akizungumza katika mkutano wa mapokezi na utambulisho wa sekretariet mpya ya ccm taifa.
Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Ndg Daniel Chongolo akihutubia mkutano wa mapokezi na utambulisho wa sekretariet mpya ya ccm taifa uliofanyika katika uwanja wa ofisi za CCM Mkoa wa Dodoma.
0 Maoni