Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo akizungumza katika Mkutano wa Mapokezi uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndg Christina Mdeme akizungumza katika Mkutano wa Mapokezi uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja,
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika Mkutano wa Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, uchumi na fedha, Ndg Frank Awasi akizungumza katika Mkutano wa Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Ngemela Lubinga akizungumza katika Mkutano wa Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Oganaizesheni Ndg Mudrick Kastiko akizungumza katika Mkutano wa Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja. Katibu Mkuu wz UWT Ndg Queen Mlozi akizungumza katika Mkutano wa Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja.
Katibuwa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Kenani Kihongosi akizungumza katika Mkutano wa Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja,
Shangwe la Vijana wa Hamasa katika Mkutano wa Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo akiweka shada katika kaburi la Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Amani Abeid Karume katika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja, jana. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo akivishwa shada baada ya kuwasili Afisi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja, jana Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo akiongoza Matembezi ya Viongozi na wanachama akielekea katika Mkutano wa Mapokezi uliofanyika Afisi Kuu ya Chama, Kisiwandui mjini Unguja, . (PICHA NA FAHADI SIRAJI CCM) x
0 Maoni