Unordered List


KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI DANIEL CHONGOLO APOKEA UGENI WA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA FRELIMO PAMOJA NA WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA HICHO KWA ZIARA YA SIKU TANO YA KUIMARISHA MAHUSIANO KATIKA VYAMA HIVYO..

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kushoto) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Mwl Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kushoto) akizungumza Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Mwl Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam.
Wajumbe wa Sekretariet ya Chama Cha Mapinduzi Taifa wakimpokea Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Silver Samweli mara baada ya kuwasili  Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Silver Samweli  akivishwa Skafu na kijana wa Hamasa mara baada ya kuwasili  Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kulia) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,alipowasili katika Ofisi ndogo za makao makuu ya CCM Lumumba  Jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kulia) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,wakikagua kikundi cha ngoma  ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kulia) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,wakiingia ndani katika Ofisi ndogo za Mkao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam.
Picha ya Pamoja ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kulia ) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,katika Ofisi ya katibu Mkuu wa CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.
Wajumbe wa Sekretariet ya Chama Cha Mapinduzi  wakiongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo pamoja na wajumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Frelimo walioongozana na Katibu Mkuu ndg Roque Silver Samwel wakiwakaribisha Viongozi hao katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ndogo za Makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu  wa Chama cha mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo  akizungumza pamoja na wajumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Frelimo walioongozana na Katibu Mkuu ndg Roque Silver Samwel katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ndogo za Makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Silver Samwel akizungumza katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ndogo za Makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam
Picha zote na (FAHADI SIRAJI/CCM MAKAO MAKUU)
 

Chapisha Maoni

0 Maoni