Unordered List


CCM YATIKISA KIBITI



  • Apokea viongozi wawli kutoka upinzani
  • Ataka serikali kuangalia upya sheria za utumishi.
 Katbu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kibiti mjini ambapo alisema kuna haja ya serikali kubadiliksha baadhi ya sheria katika Utumishi wa serikali kwani zitasaidia kupata watumishi bora wenye kuzingatia wajibu wao.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kibiti mjini.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha Selemani Ndumbogani aliyekuwa katibu wa jimbo  wa Chadema ambaye amerudi rasmi CCM.
Mwingine aliyerudi CCM ni BwanaKhalfani Lipiluka Mtandika aliyekuwa mgombea wa Udiwani  CUF Kibiti.
 Wafanya biashara ndogo ndogo wakifuatilia kwa makini mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahmani Kinana.

Chapisha Maoni

0 Maoni