Unordered List


MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN, JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WASHINGTON DC 19/11/2014


Mhe. Mohamed Chande, Jaji Mkuu wa Tanzania akisaini kitabu cha wageni katika Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Washington DC, Marekani.

Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania (Wa Tatu Kushoto)katika picha ya pamoja na Maofisa wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC na watumishi wengine wakati wa ziara yake Ubalozini. Wa nne Kushoto, ni Mhe. Prof. Ibarahim Juma, Jaji wa Mahakama ya Rufaa na wa Pili kulia ni Mhe. Aloysius Mujulizi, Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.


Chapisha Maoni

0 Maoni