mtafute kichaa yeyote muulize ni chama gani kinatawala Tanzania na kitaendelea kutawala na kutawala halafu nitumie majibu. asipotaja CCM huyo sio kichaa ila ana ugonjwa unaoitwa Tundu (sio Tundu Lissu) ambao kwa lugha ya Kisambaa na Kibondei cha zamani maana yake pesa (matundu). Hivyo huyo atakuwa na ugonjwa wa kutafuta pesa.
1 Maoni