Mdau
hizi ni picha za matukio mbalimbali ya ziara ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya
CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazszi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo
katika Wilaya za Kyerwa na Karagwe mkoani Kagera, leo. Kutokana na
sababu za kiufundi hatukuweza kuweka maelezo ya picha hizi, hadi hapo
baadaye. Msimamizi Mkuu wa Blog hii anaomba radhi kwa usumbufu
utakaojitokeza.
0 Maoni